Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

GCLA Logo
ISO 9001:2015 Certified

Sehemu ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini

Sehemu hii inafanya kazi zifuatazo: -

  • Kutoa mwongozo wa kitaalam na kusaidia uandaaji na utekelezaji wa mpango mkakati na bajeti ndani ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali;
  • Kuratibu maandalizi ya bajeti ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali;
  • Kuandaa na kufuatilia utekelezaji wa “dash board” ya Mamlaka ikiwemo viashiria vya kiutendaji vya kifedha na visivyo vya kifedha.
  • Kupitia viashiria na viwango vya utendaji;
  • Kufuatilia na kutathmini Mipango Biashara na Mipango Mikakati ya Muda wa Kati;
  • Kuratibu uandaaji wa ripoti ya ufuatiliaji na tathmini;
  • Kutathmini matokeo ya miradi na programu zinazofanywa na Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali;
  • Kuratibu utafiti wa utaoji huduma na kuishauri Menejimenti;
  • Kutathmini utendaji wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ikiwemo mipango mkakati na hatua za utekelezaji wa miradi;
  • Kuratibu uandaaji wa ripoti za utendaji za Robo, Nusu na Mwaka;
  • Kuandaa, kutekeleza na kuhuisha Taratibu za Utendaji kazi za Sehemu ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini; na
  • Kushirikiana na Wadau katika kuandaa mpango mkakati na taratibu za bajeti ndani ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikal