Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda (kushoto), akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Christopher Kadio (kulia) wakati alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza akiwa ameambatana na baadhi ya Wajumbe wa Bodi (hawapo pichani) wakati wa ziara ya kuwatembelea wadau wa Mamlaka katika Mkoa wa Mwanza Machi 10, 2025.
Mwenyekiti wa Bodi, Christopher Kadio (kushoto) akiwa na Wajumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Mukabatunzi Rwakilomba (kulia) na Doris Njelekela (katikati) wakati walipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wakati wa ziara ya kuwatembelea wadau wa Mamlaka katika Mkoa wa Mwanza Machi 10, 2025.
Meneja wa Maabara za SGS , Omary Ngereza (kulia) akiwaeleza wajumbe wa Bodi, Doris Njelekela (katikati) na Mukabatunzi Rwakilomba (kushoto) utaratibu wa uchunguzi wa madini wakati wa ziara ya kuwatembelea wadau wa Mamlaka katika Mkoa wa Mwanza Machi 10, 2025.
Mwenyekiti wa Bodi, Christopher Kadio (kushoto) akiwa na wajumbe wa bodi, Mukabatunzi Rwakilomba (wa tatu kulia) Doris Njelekela (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa Huduma za Udhibiti, Daniel Ndiyo (kulia) wakifanya ukaguzi wa kemikali katika kiwanda cha kuzalisha Dawa za Binadamu cha Prince Pharmaceuticals mkoani Mwanza Machi 10, 2025.
Watumishi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Ofisi ya ndogo ya Dar es Salaam na Kanda ya Mashariki, wakiwa pamoja kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam, Machi 8, 2025.
Watumishi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Ofisi ndogo ya Dar es Salaam na Kanda ya Mashariki, wakiwa katika maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam, Machi 8, 2025.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila (katikati), Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule (kushoto) na Mke wa Mkuu wa Mkoa, Esther Chalamila (kulia) wakiwa katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam, Machi 8, 2025.
Watumishi Wanawake wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Makao Makuu-Dodoma, wakisheherekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 08,2025 ambayo Kitaifa inafanyika mkoani Arusha. Ambapo Kauli Mbiu inasema “Wanawake na Wasichana 2025 tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji
Watumishi Wanawake wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Makao Makuu-Dodoma, wakisheherekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 08,2025 ambayo Kitaifa inafanyika mkoani Arusha. Ambapo Kauli Mbiu inasema “Wanawake na Wasichana 2025 tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji
Watumishi wa Mamlaka kutoka Ofisi ya Kanda ya Kaskazini wakiwa pamoja na baadhi ya wawakilishi kutoka Makao Makuu na Ofisi ndogo ya Dar es Salaam kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kitaifa yamefanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha na Mgeni Rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Machi 8, 2025.